.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

HUYU NDIO MWANAMKE MTANZANIA ALIEKAMATWA NA MADAWA ZA KULEVYA AIRPORT DUBAI





dubai
Mwanamke mmoja ambaye ametambulika kuwa ni mtanzania amekamatwa kwenye airport ya Dubai akiwa na dawa za kulevya aina ya Cocaine na alikuwa anatoka Brazil kuja Tanzania ambapo baada ya kuhojiwa na Polisi wa Dubai, kasema rafiki wa mme wake ndio alimuomba ampelekee mizigo yake nyumbani Tanzania.
DubaiHuyu mwanamke amesema alikuwa anatoka kwenye mapumziko ya miezi mitatu ambayo aliandaliwa na mume wake huko Brazil lakini anavyorudi ndiyo alipewa huo mzigo kuuleta Tanzania ambao ni dawa za kulevya aina ya cocaine zenye thamani ya zaidi ya bilioni moja nukta tatu za Tanzania(Dhs 3 million).
Alikamatwa wakati anajiandaa kubadilisha ndege ili kupanda inayokuja Tanzania.
Hakujatolewa taarifa nyingine zaidi ila blog ya vijana inaendelea kufatilia info zaidi kwa sababu bado Mtanzania huyu anashikiliwa na polisi wa Dubai.
Hiyo picha imezibiwa hukohuko Dubai ilikopigwa.
dubai 2
Hili tukio limetokea siku kadhaa baada ya mabinti wa Kitanzania kukamatwa wakiingiza dawa za kulevya kwenye nchi za Zimbabwe na Afrika Kusini wakati pia kwenye Uwanja wa ndege Dar es salaam mwanaume Mtanzania alikamatwa siku kadhaa zilizopita akiwa anasafirisha dawa za kulevya.
Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad