.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

LINAH, AMINI... WADENDEKA HADHARANI



Na Feisal Pinto

WANAMUZIKI wapendanao waliomwagana miaka kadhaa iliyopita, Estalina Sanga ‘Linah’ na Amini Mwinyimkuu wamejikuta wakidendeka hadharani baada ya utamu wa muziki kuwakolea.
                                                        Estalina Sanga ‘Linah’ na Amini Mwinyimku wakidendeka hadharani.
Tukio hilo lilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita wakati mastaa hao walipokuwa wakipafomu katika Tamasha la Serengeti Fiesta 2013 ‘Noma Sana’, katika Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, mjini Tabora.

Walipokuwa wakiimba pamoja wimbo wa Mtima Wangwe, ndipo…

                                                           Linah na Amini wakiwa kimahaba.
“Jamani hawa bado wanapendana, si bora warudishe penzi lao. Mbona wamependezana,” alisikika mdau ingawa wenyewe hawakutaka kulizungumzia suala hilo.

Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad