Na Feisal Pinto
WANAMUZIKI wapendanao waliomwagana miaka kadhaa iliyopita, Estalina Sanga ‘Linah’ na Amini Mwinyimkuu wamejikuta wakidendeka hadharani baada ya utamu wa muziki kuwakolea.
WANAMUZIKI wapendanao waliomwagana miaka kadhaa iliyopita, Estalina Sanga ‘Linah’ na Amini Mwinyimkuu wamejikuta wakidendeka hadharani baada ya utamu wa muziki kuwakolea.
Tukio hilo lilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita wakati mastaa hao walipokuwa wakipafomu katika Tamasha la Serengeti Fiesta 2013 ‘Noma Sana’, katika Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, mjini Tabora.
Walipokuwa wakiimba pamoja wimbo wa Mtima Wangwe, ndipo…
“Jamani hawa bado wanapendana, si bora warudishe penzi lao. Mbona wamependezana,” alisikika mdau ingawa wenyewe hawakutaka kulizungumzia suala hilo.
About feisal pinto
Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
0 comments :
Post a Comment