Aliyekuwa mshiriki wa shindano la BBA‘The Chase’Elikem kutoka nchini Ghana ametua muda mchache uliopita katika ardhi ya nchini Zimbabwe na kupokelewa na mpenzi wake Pokelo na maelfu ya wakazi wa nchi hiyo.
Leo Ijumaa Septemba 6 katika ukumbi wa Blue Pokelo atamtambulisha mpenzi wake huyo nyumbani kwao katika ukumbi wa Blue.
About feisal pinto
Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
0 comments :
Post a Comment