Wanawake
wamekua makatili kuliko Israel mtoa roho,wale wanaotoka makazini jioni
na kungojea madaladala its beter mgojage hayo hayo madalalala,kuliko
kupanda yale magari ya watu binafsi wanaosanya buku buku..Kuna wadada
watatu wametekwa na wanawake wenzao waliokua na gari aina ya noah tinted
nyeuse..wamewapandisha wamewapeleka pasipojulikana wameibiwa pete za
ndoa,dhahabu zote,pesa taslimu,Atm cards..wakaona haitoshi wakaamuru
wapewe pasword za tigo pesa,wakapewa wakaenda kukömba hela zote..Just
imagne wanawake tumekua wanyama..its a true story imetokea..Tuwe makinì
na lift tusizozijua hali imekua tete
No comments:
Post a Comment