Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi
aka Sugu, ameshare picha zinazowaonesha akiwa na mwanae pamoja na mama
wa mtoto wake huyo, Faiza Ally, waliamua kupark usafiri wao pembeni ya
barabara na kufurahia mandhari ya kuvutia ya Mlima Kitonga, mkoani
Iringa. Tazama picha zao.
| Sugu akifurahia mandhari ya Kitonga |
Faiza na mwanae
Sugu na familia yake
About feisal pinto
Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
