Thursday, 26 September 2013

MAGAIDI WALIPUA BOMU KITUO CHA POLISI HIKO KENYA NA KUUA WATATU NA KUCHOMA MAGARI ZAIDI YA 11

Taarifa zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa watu wanaozaniwa kuwa ni magaidi wamevamia kituo cha Polisi katika Mji wa Mandera nchini Kenya na kuwaua polisi
, watatu wamejeruhiwa vibaya na baadaye kuchoma magari zaidi ya 11.
Ungana nasi baadaye kwa habari zaidi

No comments:

Post a Comment