1- Amekulia Morogoro Tanzania
2- Alivyokuwa mtoto Rose alikuwa akihudhuria Madrasa -mafumzo ya kislamu kila baada yakutoka shule
3- Ugonjwa wa Ajabu ulimfanya Rose alale kitandani kwa takribani Miaka mitatu
4- Baade baade huku akiwa devout Muslim, Muhando alisema kwamba ameona miujiza ya Yesu na ndio imemponesha
5- Kwa ushahidi wa akauti yake alisema hivi ''mimi ni Yesu, nimekuponya amkaa na uwende kunitumikia'' baada ya hapo akawa amepona na baadae akabadilisha kutoka Uislam mpaka kuwa Mkristo
6- Alibatizwa kuwa mkristo wakati wa Pasaka
7- Ameanza safari yake ya kuimba kama mkuu wa qwaya huko Dodoma katika qwaya ya Sait Mary's
8- Alifukuzwa kanisani baada ya kukataa maombi ya kurekodi na qwaya ya kanisa
9- Bado ajaolewa lakini anawatoto watatu kati ya miaka 9 na 14
10- Rose Muhando amesema hato funga ndoa kwa kuwa mipango yake ni kumtukuza Mungu tu.
0 comments :
Post a Comment