.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

MAMBO 10 USIO YAJUA KUHUSU ROSE MUHANDO

 
1- Amekulia Morogoro Tanzania

2- Alivyokuwa mtoto Rose alikuwa akihudhuria Madrasa -mafumzo ya kislamu kila baada yakutoka shule

3- Ugonjwa wa Ajabu ulimfanya Rose alale kitandani kwa takribani Miaka mitatu

4- Baade baade huku akiwa devout Muslim, Muhando alisema kwamba ameona miujiza ya Yesu na ndio imemponesha

5- Kwa ushahidi wa akauti yake alisema hivi ''mimi ni Yesu, nimekuponya amkaa na uwende kunitumikia'' baada ya hapo akawa amepona na baadae akabadilisha kutoka Uislam mpaka kuwa Mkristo

6- Alibatizwa kuwa mkristo wakati wa Pasaka

7- Ameanza safari yake ya kuimba kama mkuu wa qwaya huko Dodoma katika qwaya ya Sait Mary's

8- Alifukuzwa kanisani baada ya kukataa maombi ya kurekodi na qwaya ya kanisa

9- Bado ajaolewa lakini anawatoto watatu kati ya miaka 9 na 14

10- Rose Muhando amesema hato funga ndoa kwa kuwa mipango yake ni kumtukuza Mungu tu.


Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad