.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

SHABIKI ATUPA BOMU LA MACHO WAKATI MECHI IKIENDELEA JANA


Mashabiki wawili wamekamatwa na jeshi la polisi nchini Uingereza baada ya kutupa bomu la machozi uwanjani wakati mechi ikiendelea kati ya Tottenham Hotspur na Aston Villa ambapo bomu hilo lilimdondokea mgongoni refarii msaidizi wa mechi hiyo.
Katika mechi hilo Spurs ilishinda mabao 2-0,kupitia mtandao wa twitter Polisi waliandika kuwa‘tumewatia mbaroni watu wawili baada ya kurusha bomu la machozi uwanjani wakati mechi ikiendelea kati ya Villa vs Spurs’.…

Mashabiki wawili wamekamatwa na jeshi la polisi nchini Uingereza baada ya kutupa bomu la machozi uwanjani wakati mechi ikiendelea kati ya Tottenham Hotspur na Aston Villa ambapo bomu hilo lilimdondokea mgongoni refarii msaidizi wa mechi hiyo.
Katika mechi hilo Spurs ilishinda mabao 2-0,kupitia mtandao wa twitter Polisi waliandika kuwa‘tumewatia mbaroni watu wawili baada ya kurusha bomu la machozi uwanjani wakati mechi ikiendelea kati ya Villa vs Spurs’.
Katika tukio hilo hakuna mtu aliyejeruhiwa.


Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad