.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

ZITTO AANZA KAZI ILIYOMPELEKA USWIS..ATUMA PICHA HII KAMA USHAHIDI


Habari zilizoenea leo ni kwamba Zitto Amekwenda Uswiss kufuatilia mabilion ya yaliyotunzwa huko na mafisadi ...Jioni hii amepost kwenye facebook yake picha hiyo hapo juu akiwa na caption hii hapa chini:

"Siku ya kwanza ya kazi hapa Uswiss, mikutano mizuri sana na Waziri wa Fedha na timu yake, Shirika la Maendeleo #SDC na asasi ya #AllianceSud " Zitto
Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad