Thursday, 19 December 2013

HABARI NJEMA...KODI YA LAINI ZA SIMU YAFUTWA...!SOMA ZAIDI HAPA...!

Habari za kodi kwa laini za simu ilichukua vichwa vya habari kwa wakati wake hadi pale mheshimiwa Rais alipotoa agizo kwa wahusika kulishughulikia suala  hilo....
Naibu Waziri mwenye dhamana ya mawasiliano,sayansi na teknolojia “January Makamba” ametoa habari mpya na nzuri kuhusu kodi hii....

No comments:

Post a Comment