BLOG YA VIJANA
Wednesday, 11 December 2013
MWILI WA MANDELA WAPELEKWA KWENYE OFISI ZA SERIKALI..TAZAMA PICHA HAPA
Wanajeshi wameubeba mwili wa hayati Mandela kuelekea ofisi za serikali jijini Pretoria.
Mwanamitindo wa Uingereza, Naomi Campbell mbele ya jeneza la mwili wa Mandela.
Mwanamitindo wa Uingereza, Naomi Campbel (kushoto)
Wananchi wakishuhudia msafara wa mwili wa Mandela mitaani.
Jeneza likiwa limefunikwa bendera ya Afrika Kusini.
PICHA ZOTE NA DAILYMAIL
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment