| Maelfu ya wakazi wa mkoa wa Iringa wakiwa ndani ya show ya Mtikisiko 2013 Iringa |
| Wadau wa mtandao huu wakiwa katika show ya mtikisiko 2013 na radio Ebony Fm ndani ya uwanja wa Samora |
| Msanii Madee a.k.a mzee wa nani kamwaga Pombe yangu akipagawisha katika show ya Mtikisiko Iringa |
| msanii Madee a.k.a 'Pombe yangu akiwa amevamiwa na mlevi wa ukweli jukwaani |
| Kikosi kazi cha ma DJ wa ukweli wakifanya mavituzz |
| Umati kama huu haujapata kutokea ndani ya uwanja wa Samora |
| Mtangazaji wa Radio Ebony Fm Raymond Francis kushoto akiikubali show ya Mtikisiko na nyomi ya watu katika uwanja wa samora |
| Msanii Shilole katikati akionyesha show na wachezaji wake |
| Polisi akimthibiti msanii Shilole ambae aliamua kuruka jukwaani na kuwafuata mashabiki wake ambao walipandwa na mzuka na kucheza nae |
| hapa polisi wakimrudisha jukwaani msanii Shilole ambae alikuwa ni ngunzo katika show hiyo ya Mtikisiko |
| Njemba zikimvizia msanii Shilole ili kumgusa huku polisi wakiwa wameweka ulinzi mkali |
| Mtangazaji wa Radio Ebony Fm Bw Alen Philip kulia akiwa na mdau wa vipindi vyake na show ya Mtikisiko |
| Msanii baba Revo akipagawisha |
| Msanii baba Revo akiwa amenogewa na mrembo wa Iringa |
| hapa akiwa amevua nguo ya juu |
| Msanii Squza awakumbusha wana Iringa |
| Watangazaji wa radio Ebony Fm Sogg na Aisha a. k.a Baba na Mwana wakiwa katika furaha kubwa ya Mtikisiko |
0 comments :
Post a Comment