#MacelebTzNaMadawa kuna tetesi watoto wa wakubwa ndiomadon wa mizigo. Kwa mwenye taarifa...
— Orijino Komedi (@OrijinoKomedi) December 27, 2013
Hapa EA nasikia kuna BOSS LADY watatu, yaani Kenya, Uganda na Tanzania, sasa Boss Lady mmoja naambiwa wamemdaka huko CHINA na kete Uwiiiiiii
— DjChokaMusic.com (@ChokaDJ) December 27, 2013
Girls; Kama huna akili - hujasoma na huna kazi, kama ni mvivu na sio mbunifu,mpenda dezo na huwezi honest living mara mia 'buzi' sio 'sembe'
— Mwamvita Makamba (@Makambas) December 26, 2013
Na China ukishikwa na sembe ndo ushapotea kudadadeki.
— JOTI (@JOTI__) December 27, 2013
No comments:
Post a Comment