.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

BAADA YA MOYES KUFUNGWA MECHI 3 MFULULIZO AWATAJA WACHEZAJI 5 ANAOTAKA KUWASAJILI KWENYE DIRISHA DOGO.....

1. Fabio Coentrao




Timu Aliopo sasa
Real Madrid 

Nafasi anayocheza
Beki wa Kushoto


Uwezekano wa kumpata ni mkubwa kwa kua mpaka sasa anagombania namba na Marcelo ambae ndio beki anaeaminika katika timu io, na mpaka sasa Fabio amecheza mechi mbili tu katika mechi za ligi, huku akiwa na hamu ya kucheza UEFA ila mpaka sasa ajapagwa kwenye mechi yeyote ile ya UEFA msimu huu,


2: JUAN MATA
Klabu anayochezea
Chelsea 

Nafasi anayocheza
Kiungo Mshambuliaji


Mourinho Yuko tayari Mata aondoke na mpaka sasa PSG wameshaweka Dau lao, na Uongozi wa Chelsea unataka wabadilishane Rooney kwa Mata.....

3: KOKE
Klabu anayochezea
Atletico Madrid

Nafasi anayocheza

Kiungo wa Kati


Koke ameongeza mkataba mpaka 2018 na gharama ya kumtoa Atletico madrid ni €60 million ambayo Moyes anao uwezo wa kutoa lakini KOKE amesema ataki kuondoka klabu io ..Moyes ammtuma mtu aende akaongee nae ili aweze kutua Manchester United

4: FREDY GUARIN
Klabu anayochezea sasa
Inter Milan

Nafasi anayocheza

Kiungo wa kati


Huyu ndio mchezaji peke ambae Inter Milan wana weza kumuuza sasa, na mpaka sasa inter Milan wameongea na Chelsea kuhusu kumuuza huyu mchezaji, Moyes ametuma muwakilishi Milan ili kuongea nao, Lakini Gurain anataka kwenda Chelsea ili akutane na kocha ambae ameshawahi kumfundisha alivyokua akifundisha Inter Milan....

5. Eliaquim Mangala

Timu anayochezea
Porto

Nafasi anayocheza

Beki wa Kati

mpaka sasa Beki huyo ataki kuondoka Porto amekaliliwa akisema kwamba anaamini kwamba Porto itamfanya aitwe kwenye timu ya Taifa ya Ufaransa,

Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad