Taarifa zilizofika hivi sasa zinahusu ajali ya basi liligongana na lori huko Mikumi Morogoro.
Basi hilo limetajwa kuwa ni Taqwa mashuhuda wanasema basi hilo lilijaribu ku-over take hilo lori.
Hadi sasa wamefariki watu watatu ambapo wanawake ni wawili na mwanaume ni mmoja
No comments:
Post a Comment