Wednesday, 1 January 2014

Picha na taarifa za ajali inayohusisha basi la abiria huko Morogoro



6a00e54f0b19908834019b01e86ca0970bTaarifa zilizofika hivi sasa zinahusu ajali ya basi liligongana na lori huko Mikumi Morogoro.
Basi hilo limetajwa kuwa ni Taqwa mashuhuda wanasema basi hilo lilijaribu ku-over take hilo lori.
Hadi sasa wamefariki watu watatu ambapo wanawake ni wawili na mwanaume ni mmoja
1388581742264
1388581761327


No comments:

Post a Comment