.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

CAR WASH GIRLS PARTY DODOMA, MASOGANGE NA MISS TZ WAFUNIKA MBAYA

Mambo haya yalijifanyika huko DODOMA na kuitwa Car wash girls party watu wakipata burudani kutoka kwa warembo waliokuwa wakijivinjari. Na  huku bunge la katiba likinguruma mambo ndiyo haya badala ya kazi ni wakati wakula raha. Hapa Agness Massogange akifanya mambo yake yaliyosababisha hadi pirato akatoa msamaha.
Mambo yalikuwa hivi warembo wakionyesha ufundi wa kujinyonga nyonga sehemu zao za kati. Hili mradi tu kutoa burudani kwa wapenzi na waandaaji wa Car wash girls party hiyo iliyofanyika ndani ya jiji lililo maalufu kwa vikao vya bunge (IDODOMYA.)
Miss akiosha gari kwa mashamushamu na pembeni watu wakipata urabu maisha yakiendelea bongo maisha tambalale
Jamaa akisema nikimaliza hapa naondoka na wangu maisha yenyewe marefu haya hacha nile ujana mieee!!.........
Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad