.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

HUU NDIO UJIO MPYA WA MKALI WA HIP HOP, ROMA MKATOLIKI NA STYLE YAKE MPYA.. SOMA HAPA

 
MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini Roma Mkatoliki atangaza ujio mpya wa nyimbo yake ambayo itakujua na utaratibu mpya aliojiwekea kwa kutoa single zaidi ya moja kwa mwaka mzima. Roma ambaye amekuwa na kawaida ya kutoa single moja kwa mwaka mzima hivi sasa hali itakuwa ya tofauti ambapo amedai kutoa nyimbo zaidi ya moja kwa muda wa mwaka mzima. Akizungumza na jarida hili Roma alidai kuwa mwaka huu atakuwa na utaratibu wa tofauti kwa kutoa nyimbo zaidi ya moja hiyo ni kutokana na ushauri wa mashabiki wake. "Nitakuwa natoa nyimbo tatu kwa mwaka mmoja huu ni utaratibu mpya ambao mashabiki zangu wameshauri hivyo na mimi nafanya kazi kwa sababu ya mashabiki hivyo ndio maana nimefwata walichokuwa wakitaka" alisema Roma. Alisema kuwa hivi sasa kutakuwa na tofauti kubwa ya ufanyaji wake wa kazi hii ni kutokana na mazingira ya muziki kubadilika kutokana na nyimbo nyingi kurekodiwa kila siku. Roma alidai kuwa huo ni mradi wake mpya alioupa jina la 'The Return of The Ninja' unaanza wiki hii ambapo anatarajia kuachia wimbo ulioupa jina la 'KKK'
Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad