Friday, 11 April 2014

ANGALIA MECHI ZILIVYOPANGWA KWENYE NUSU FAINALI YA KOMBE LA LIGI YA MABINGWA ULAYAM

UEFA Champions League semi-final draw


UEFA Champions League semi-final draw




UEFA Champions League semi-final draw
Maandalizi ya Kupanga mechi hizo 


UEFA Champions League semi-final draw


UEFA Champions League semi-final draw
Mchezaji wazamani Luis figo akionesha timu yakwanza baada ya Kuichagua wakati wakupanga Mechi hizo


UEFA Champions League semi-final draw


UEFA Champions League semi-final draw
Na hivi ndivyo mechi zitakavyochezwa katika hatua ya nusu fainali ya ligi ya Mabingwa Ulaya

Mechi ya Club Atlético de Madrid v Chelsea FC tarehe 22/4/2014 huku mechi yao ya marudiano itachezwa tarehe 30/4/2014

Mechi yakwanza ya Real Madrid v Fc bayern Munchen itachezwa tarehe 23/4/2014 huku mechi ya marudiano itachezwa tarehe 29/4/2014 

No comments:

Post a Comment