Saturday, 6 September 2014

BEN POL ATUPIA PICHA AKIWA NA MPENZI WAKE

Ben Pol ni msanii ambaye amekuwa nadra kuingia kwenye headlines zinazohusu mapenzi ya mastaa wa bongo na pia ni miongoni mwa wasanii wasioweka hadharani mahusiano yao ya kimapenzi.

Lakini safari hii muimbaji huyo wa ‘Unanichora’ amepost picha iliyozua maswali mengi, lakini yote yakihitaji jibu moja tu, ‘Huyu ndiye ‘baby’ wa Ben Pol?

Katika picha Ben Pol anaonekana kifua wazi huku pembeni yake yupo mrembo aitwaye Latifah Mohamed aliyekuwa mshindi wa pili katika Miss Tanzania 2013.
Credits:Bongo5

No comments:

Post a Comment