Mchezaji wa soka nchini India, Peter Biaksangzuala amefariki kutokana na majeraha aliyoyapata baada ya kuanguka vibaya uwanjani akisherehekea bao lake kwa staili ya kuruka sarakasi.
Mchezaji huyo alikua na umri wamiaka 23 na alijeruhi uti wake wa mgongo baada ya kutua vibaya uwanjani wakati akisherehekea bao lake la kusawazisha kwa timu yake ya Bethlehem Vengthlang FC dhidi ya Chanmari West FC.
Mchezaji huyo alikua na umri wamiaka 23 na alijeruhi uti wake wa mgongo baada ya kutua vibaya uwanjani wakati akisherehekea bao lake la kusawazisha kwa timu yake ya Bethlehem Vengthlang FC dhidi ya Chanmari West FC.
Biaksangzuala alikimbizwa hospitalini na kufanyiwa upasuaji lakini baadaye alifariki.
Mechi hiyo ambapo alipata jerehe la mgongo, ilikuwa mechi muhimu katika ligi ya nchi hiyo.
Taarifa ilitolewa pia kwenye kwa mtandao wa Facebook katika kurasa ya ligi kuu ya india, :''imekuwa siku yenye huzuni kubwa kwa ligi ya Mizoram na kifo cha mchezaji wetu kimetushtua sana pamoja na wachezaji wenzake,wachezaji wa soka na mashabiki waMizoram. ''
"Peter alikuwa mchezaji mzuri namilizni mzuri sana, na pia alikuwamchapa kazi.''
Mechi hiyo ambapo alipata jerehe la mgongo, ilikuwa mechi muhimu katika ligi ya nchi hiyo.
Taarifa ilitolewa pia kwenye kwa mtandao wa Facebook katika kurasa ya ligi kuu ya india, :''imekuwa siku yenye huzuni kubwa kwa ligi ya Mizoram na kifo cha mchezaji wetu kimetushtua sana pamoja na wachezaji wenzake,wachezaji wa soka na mashabiki waMizoram. ''
"Peter alikuwa mchezaji mzuri namilizni mzuri sana, na pia alikuwamchapa kazi.''
0 comments :
Post a Comment