BLOG YA VIJANA
Monday, 13 October 2014
MICHAEL ESSIEN AKUNUSHA KUAMBUKIZWA EBOLA
Baada ya kuripotiwa kuugua ugonjwa wa EBOLA - hatimaye kiungo wa kimataifa wa Ghana Micheal Essien amejitokeza na kusema yeye ni mzima wa afya - hajaathirika na ugonjwa huo. aliandika maneno hayo kupitia akaunti yake ya Instagram
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment