.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

SHILOLE NA NUH MZIWANDA WANASWA HUKO DODOMA WAKIWA NYUMA YA CHOO CHA UKUMBI WA MATEI LOUNGE, TAZAMA WALICHOKUWA WANAKIFANYA

Msanii mkali wa Bongo Fleva @Nuh Mziwanda akiwa bebe wake pande za Dodoma kwenye ukumbi wa Mtei Lounge waliswa na Camera za Paparazi wetu aliyekuwa Maeneo hayo, Inasemekana Shilole alikuwa anaenda msalani na kumwomba kipenzi chake amsindikize baada ya kutoka huko walizama chochoro na kuanza kunyonyana ndimi kwa hisia kali za mahaba yani zile za kipombe pombe
Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad