.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

BAADA YA SITTI KUVUA TAJI LA MISS TANZANIA, MAPYA YAIBUKA KWA ALIEVALISHWA TAJI

asante sana sitti mtemvu kwa kuvua taji subiri mwakan ushiriki bibi bomba vigezo vyote unavyo una nafasi kubwa ya kushinda na kuitangaza nchi!!! Kila la kheri asante kwa kushiriki ubarikiwe sana

MISS TANZANIA PART 2.A
Baada ya kuvuliwa taji aliyekuwa miss Tanzania Sitti mtemvu kwa kughushi umri...nafasi ya miss Tanzania imenyakuliwa na Mshindi wa pili Lilian Kamaziama...lk mshindi huyu wa pili naye inasemekana sio raia wa Tanzania ni mnyarwanda. LILIAN nini mtoto wa generali wa jeshi KAMAZIAMA....ambaye inasemekana sio mtanzania ni mnyarwanda na mmoja wa makamanda na jasusi wa jeshi la kinyarwanda aliyepenyezwa na raisi Kagame. ....
Sasa wewe Lilian ki roho safi km kuna lolote umelificha tunaomba u pasi hcho kijiti kwa anaefuata kbla hutujaanza kufichua na mengne ambyo hayajulikani!...yaliyompata mwenzio nazan umejionea mwenyewe--

Ata km taji anastail mshindi namba kumi atalipata tu...tutapita kwa mmoja mmoja mda tunao  mpaka ifike miss world tunatukua tumeshampata mwenye haki yake.....-HAKI mwanzo mwisho- 

CHANZO ; BLOGu YA WANANCHI
Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad