Tuesday, 21 April 2015

Jokate Mwegelo azidi kuwa "Mcharo", "TeamKIba, TeamDiamondPlatnumz zamuhitaji yeye abaki NjiaPanda..?



MCHARO ni nini (Mcharo ni character wa  tangazo maarufu nchini Tanzania. Mcharo alikuwa akifanikiwa sana. Nikisema Mcharo maana ni "Mafanikio.")

Mrembo Jokate Mwegelo ambae alijizolea umaarufu baada ya 
kutwa mataji la Miss Kurasini 2006, kisha  
Miss Temeke 2006, na Miss Tanzania number 2 2006 pia Jokate anajihusisha na maswala ya utangazaji na 

fashion akiwa na brand yake iitwayo #Kidoti. 



Jokate aliachia ngoma yake ya Leo Leo aliomshirikisha Msanii Ice 

Prince, nyimbo inafanya vizuri sana katika redio tofauti. 



Sasa kwenye mitandao ya kijamii kuna mvutano wa 

mashabiki kutoka pande mbili tofauti 

naongelea #TeamDiamondPlatnumz na #TeamKiba.

baada ya nyimbo hii kutoka na kuonekana Jokate yupo vizuri 

sasa mashabiki wanataka collabo yake na Alikiba au 

DiamondPlatnumz.....





Mrembo Jokate amebaki Njia panda ...? Embu mshauri wewe afanyaje 



No comments:

Post a Comment