.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

Jinsi Bilionaire Shu wa China alivyo futa ndoto za Kuwasajili Diego Costa, Karim Benzema na Edinson Cavani

Image result for Tianjin Quanjian costa

Tiajin Quanjian inayoshiriki Ligi kuu China iliotoa dau la kumsajili mchezaji wa klabu ya Chelsea wamefuta ndoto hio baada ya sheria mpya ya ligi kuu China kutolewa. amesema mmiliki wa klabu hio Shu Yuhui


Shu ameeleza mipango na ndoto za kusajili wachezaji wa timu ya Taifa ya Hispania Costa (28), na washambuliaji wenzake Karim Benzema, Radamel Falcao na Edinson Cavani.


Image result for Edinson Cavani.

Ila klabu za China zitaruhusiwa kuchezesha wachezaji watatu (3) tu kutoka mataifa mengine katika kila mechi kuanzia msimu mpya.

" Hili limebadilisha mipango yetu ya usajili," amesema Shu

Hapo awali timu ilikua na uwezo wa kuchezesha wachezaji wanne (4) wa mataifa mengine na mmoja (1) kutoka Asia.

Shu ameeleza pia jinsi Tianjin ilivyokuwa imewekeza sana mwaka huu kama sheria hii isinge badilishwa.





Revealed: Tianjin Quanjian owner confirms their bid for Chelsea striker Diego Costa
Falcao (30) Monaco
Related image
Raul Jimenez (25) Benfica
Akiongea katika kituo cha Tv cha Tianjin, Mmiliki Shu amesema mikataba ilikuwa imeshakubaliwa na mshambuliaji wa Monoca Falcao (30), na Mshambuliaji wa Benfica Raul Jimenez (25) kabla sheria kubadilishwa Jumatatu.



"Kuhusu ripoti za Costa kwenye mitandao - ni kweli tunataka kumsajili, na tumetoa ofa kwa Cavani na tupo katika majadiliano," amesema Shu


Image result for Tianjin Quanjian

Billionaire Shu aliongeza kwa kusema Costa na mshambuliaji wa PSG, Cavani (29) wangeweza kutia saini ila klabu zao hawakutaka waondoke wakati michuano inaendelea mpaka mwezi Juni.


"Hatukuweza kusubili nusu msimu," aliongeza Shu

Image result for Karim Benzema, Radamel Falcao na Edinson Cavani.

"Tunaendelea kusubili na kusumbuka, ila mwisho wa siku tutapata mtu. Tuna mipango ya washambuliaji wengi, na tumetoa ofa kwa Benzema, ila kutokana na sheria kubadilishwa, hatuna msaada."


Tianjin wamepanda Ligi kuu China msimu uliopita, pia wana Kocha kutoka Italia, Fabio Cannavaro 

Revealed: Tianjin Quanjian owner confirms their bid for Chelsea striker Diego Costa
Kocha Mkuu wa Tiajin Quanjian, Fabio Cannavaro (Picha na Getty Images)

Revealed: Tianjin Quanjian owner confirms their bid for Chelsea striker Diego Costa
Axel Witsel kutoka Belgium hivi karibuni alisajiliwa na Tianjin Quanjian (Picha na getty Images)



TUPE MAONI YAKO KUHUSU USAJILI WA TIMU ZA CHINA KAMA TIANJIN QUANJIAN..


LiveFootballTickets.com
Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad