.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

Jay-Z afika Hospitali kuwangalia watoto wake mapacha walizaliwa

Image result for Ronald Reagan UCLA Medical Center jay z

Siku mbili baada habari kusamba kuwa Jay-Z amepata watoto mapacha, rapa huyo ameonekana siku ya Jumatatu akiwasili katika hospitali iitwayo Ronald Reagan UCLA Medical Center huko Los Angeles, Marekani.

Image result for jay z

Baba huyo mwenye watoto watatu sasa alifika katika hospitali hiyo akiwa kava T-shirt nyeupe na suruali yenye mstari mweupe pamoja na kuvalia viatu vyeupe.


Chanzo muhimu kilihakikisha siku ya Jumamosi kuwa Beyonce amejifungua watoto mapacha, pia baba yake mzazi, Mathew Knowles, alithibitisha mwenyewe kupitia mtandao wa twitter.


Mapema siku hio Jay Z alionekana katika darasa la Soul Cylcle huko Beverly Hills

Image result for Soulcycle jay z

"Alihudhuria darasa lilipokuwa linaaza," alieleza shuhuda. "Alionekana mwenye furaha na nguvu nyingi. aliendelea na darasa vizuri tu. alionekana akifurahia mazoezi. Alivyokuwa mjamzito, Beyonce alikuwa akija darasani na Jay-Z. Leo alikuwa na rafiki yake."


Image result for Mathew Knowles tweet
"Wamefika! #Beyonce #twins #Jayz #happybirthday," aliandika, akiambatanisha na picha ya maputo yaliotiwa sign, "Love granddad.'

Image result for Soulcycle jay z
Mapacha hao wanaungana na dada yao mkubwa Blue Ivy (5).

Image result for jay z beyonce twins party
Beyonce (35) pamoja na mumewe rapa Jay-Z waliweka wazi kuhusu mapacha hao mnamo mwezi February .
Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad