NEWWWWWWZ,, NEWWWWWZ, NEWWWWWWWWWWZ
Kile kitendawili cha miaka mingi kilichokua vichwani mwa watanzania cha kama waziri mkuu aliejiuzuru ndg Edward Ngoyai Lowassa kama atagombea Urais wa nchi hii leo kimeteguliwa na yeye mwenyewe baada ya kuweka waz nia yake ya dhati ya kugombea nafasi hiyo leo tar. 1.1.2014 huko wilayani Monduli Arusha
Kile kitendawili cha miaka mingi kilichokua vichwani mwa watanzania cha kama waziri mkuu aliejiuzuru ndg Edward Ngoyai Lowassa kama atagombea Urais wa nchi hii leo kimeteguliwa na yeye mwenyewe baada ya kuweka waz nia yake ya dhati ya kugombea nafasi hiyo leo tar. 1.1.2014 huko wilayani Monduli Arusha

0 comments :
Post a Comment