.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

PICHA HII YA ALLY REMTULLAH YAZUA UTATA MITANDAONI, ASHUSHIWA MATUSI BAADA KUKUMBATIWA NA MWANAUME



Ally Remtullah ni mbunifu wa mavazi nchini  Tanzania ambae miezi kadha iliopita alipatwa na skendo kutokana na keki yake ya birthday ambayo ilizua utata mkubwa mitandaoni.(angalia picha hio chini) 
Picha ilioleta utata miezi kadha iliopita

Mwanamitindo huyo ameendelea kuleta utata kwenye mitandao baada ya hapo jana, kijana mmoja ameweka picha akiwa amemkumbatia Mwanamitindo huyo, watu katika mtandao huo wa kijamii hawakupenda picha hio na wakadiriki kuanza kushusha mvua za matusi,

Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad