.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

MTU AKIMEZA MADAWA HIVI NDO INAVYO KUA YAMEKAA


SAMAHANI KWA PICHA HIZI


Hii ni picha ya x ray inayoonesha ndani ya tumbo madawa aliobeba. Hivi ndivyo huwa mambo yanavyokuwa kwa wabebaji wa madawa ya kulevya (maarufu kwa jina la Punda)  ni hatari sana kwa afya ya Binadamu 

kijana tuungane kwa pamoja kupinga biashara hii haramu na hatari sana tukishirikiana kwa pamoja  na Serikali kwa pamoja tunaweza kutokomeza madawa haya haramu na hatari sana kwa jamii yetu.

   Yanavyoweza kuathili baadhi ya sehemu katika mwili.

 Operation ikifanyika tayari kuyaondoa madawa hayo yaliompelekea kijana huyu kufariki.

Operation ikiendelea hatari sana ndugu zangu.

 Picha inajieleza yenyewe tuungane kuyapiga vita kwa pamoja mimi wewe na yule.

 Baada ya utumbo kutolewa tayali kuanza kuyatoa madawa hayo.

 Kama uonavyo yakiwa ndani ya utumbo mpana.

 Yakianza kutolewa pamoja na kushafishwa jinsi unavyoona katika picha.

   Baada ya utumbo kuchanwa tayari kwa kutoa keti hizo.

 Kabla mtu ajazimeza zinakuwa hivi sasa ebu fikilia mtu anameza kete elfu 5 jamani hii ni hatarI

Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad