.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

ANGALIA VIDEO NA PICHA ZA RONALDINHO ATUMIA €50,000 ILI KUFANYIA MAKARABATI MENO YAKE


               Kabla                                                      Sasa
 
 
Angeishi maisha yake yote bila kufanya tangazo la dawa za meno ila kwa sasa naamini kampuni nyingi zita mtafuta Ronaldinho baada ya kufanyiwa marekebisho kwenye meno yake. Meno ya mwana soka huyu yalimsumbua kwa muda mrefu kwani alikuwa akitaniwa na kushindwa kujiamini mbele za watu kwa sababu ya kuwa na meno mabovu.

Ukizingatia alishawahi kuwa mmoja ya wachezaji wanaolipwa zaidi duniani asingeshindwa kulipa Pauni 50,000 kwa marekebisho haya.

Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad