Baada
ya gazeti la Risasi kuandika habari na kudai kwamba msanii na superstar
Irene Uwoya ametiwa mbaroni kwa wizi wa simu aina ya iPhone 5 mwanadada
huyo ameamua kupiga picha ukurasa wa mbele wa gazeti hilo na kuandika
machache juu yake kupitia ukurasa wake wa fb ambapo amedai ana case na
Shigongo ndo maana wameamua kumchafua. Soma alicho andika hapa chini:
.
.
shop now
-
Blogger Comment
-
Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments :
Post a Comment