.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

CHA UVUNGUNI: DIAMOND MATATANI APOKONYWA PASSPORT YAKE ,



Msanii nguli nchini wa muziki wa kizazi kipya alietamba kwa nyimbo nyingi sana nchini na ncje ya nchi ameingizwa kwenye Mtandao wa madawa ya kulevya baada ya kuchungzwa kwa Takribani wiki mbili na Jeshi la polisi ...Msanii huyo aitwae Naseeb Abdul anae tambulika kwa jina la Diamond Platnumz amepokonywa Passport yake na Jeshi ya Polisi Leo hiii
Diamond ambae amekua akichunguzwa na jeshi la Polisi kwa muda anahusishwa na biashara hio ya dawa za kulevya kutokana na Ukaribu wake na wafanya biashara amabao majina yao yametajwa kuwa wanahusika na madawa ya kulevya nchini Tanzania..Pia pamoja na mwenedo wake wa safari za kwenda Afrika kusini huku Utajiri wake wa ghafla ukitia Mashaka
Japo safari zake za Afrika Kusini zinadaiwa kwamba ni zakimuziki na alitumia fursa hio kurekodi nyimbo yake mpya aliozindua siku chache zilizopita na kuipa jina la My Number One ...lakini pia anahusishwa na mtandao wa wafanya biashara za dawa za kulevya waishio afrika kusini ambao wengi wao ni watanzania.....
.
SOURCE: HABARIMPYA.COM
Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad