.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

CHATU AKAMATWA AKIMEZA MBUZI


Chatu mkubwa mwenye uwezo wa kumeza mtu mzima ameshikwa mjini Mombasa alipopatikana akimeza mbuzi mzima. Wakazi wanasema chatu huyo mwenye urefu wa zaidi ya mita tano na uzito unaokadiriwa kuwa kilo hamsini amekuwa hatari na tishio la usalama kwa watu kando na kwamba amekuwa akila mifugo. Watu waliotaka kumwua waliishia kutoroka kwa kuogopa ukubwa wake
Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad