.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

SERENGETI FIESTA NDANI YA JAMHURI DODOMA



 
Mkali Diamond akitumbuiza usiku huu katika jukwaa la Serengeti Fiesta 2013 Jamhuri mjini Dodoma.Tamasha la Fiesta linahamia Jamhuri mjini Morogoro Jumamosi hii.
 Mkali alierithi viuno vya RC, Rachel akishambulia jukwaa la Serengeti Fiesta 2013 ndani ya uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma usiku huu.
 Mmoja wa wasanii wa Rachel akitumbuiza jukwaani.
 Baadhi ya mashabiki wakifuatilia show hiyo usiku huu


 Mkali wa Rymes Afande Sele kutoka Mji Kasoro Bahari akitoa burudani kali jukwaani
Licha ya Ukongwe wake mithili ya Simba Dume, Afande Sele bado analimudu jukwaani kama kawaida.



6 

8 

9 

IMG_1738

IMG_1746

IMG_1805

IMG_1852

IMG_1873

IMG_5336

IMG_5378

IMG_5474

IMG_5476

IMG_5481
Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad