BLOG YA VIJANA
Monday, 16 September 2013
PICHA KIBAO ZA SERENGETI FIESTA MKOANI MOROGORO
Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' akiwapagawisha wananchi waliohudhuria Tamasha la Serengeti Fiesta 2013 mkoani Morogoro usiku wa kuamkia leo.
Temba na Chegge wakilishambulia jukwaa la
Serengeti Fiesta 2013 mkoani Morogoro.
Nyomi iliyohudhuria shoo hiyo.
Juma Nature akifanya vitu vyake stejini.
Afande Sele kazini.
Msanii Sharif Thabit 'Darasa' akiwarusha mashabiki.
Dully Sykes akilipamba tamasha hilo.
Young Killer akiwadatisha mashabiki.
Mashabiki wakifurahia burudani za Serengeti Fiesta 2013.
Dj Zero akiwa kazini
Ney Lee
Anorld Kayanda,Gea Habib,mdau na Mpoki
Watu walikuwa ni wengi kama kawaida ya show za fiesta
Recho akiwa na madancer wake
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment