.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

CECAFA YASHINDWA KUILETA IVORY COAST KWASABABU YA PESA NYINGI ZA KUIGHARIMU

 
Cecafa imefuta nia ya kuileta Ivory Coast kwenye kombe la Chalenji kwavile imegundua itawagharimu zaidi ya milioni 40 kuitunza timu hiyo kwa wiki mbili jijini Nairobi. Badala yake Zambia na Malawi ndiyo timu waalikwa pekee kwenye mashindano hayo yanayoanza Novemba 27 hadi Desemba 12.

Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad