.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

MENGI.."KWA MGAO HUU WA UMEME, NINGEKUWA MIMI NDIYE PROFESA MUHONGO NINGEJIUZULU.."




Reginald Mengi  

Kutoka katika akaunt yake ya twitter Dr Reginal Mengi amemnanga hasimu wake ambaye waliyeingia kwenye mgogoro kutokana na issue ya uwekezaji kwenye vitalu vya gesi, 

Baada ya tanesco kutangaza mgawo wa umeme kwa mikoa iliyo kwenye grid ya taifa, sasa Mengi amnanga kijanja hapa namnukuu Reginald Mengi Mh Muhongo "Niwaambie Watz hakuna mgawo wa umeme na hautakuwepo" SasaTanesco yatangaza mgawo mikoa ya gridi ya taifa. Muungwana angejiuzulu
Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad