.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

BREEAKING NEWZZ :JAMBAZI LAUWAWA KWA RISASI .



Mwili wa jambazi hilo 
Kijana mmoja ambaye hajatambulika jina lake mwenye umri kati ya miaka 26 hadi 30 ameuawa kwa kupigwa risasi wakati akiwa na wenzake wakijaribu kuvunja duka maeneo ya Shunu, kata ya Nyahanga wilayani Kahama mkoani Shinyanga.Tukio hilo limetokea majira ya saa nane usiku wa kuamkia leo ambapo jambazi hilo likiwa na wenzake watatu liliuawa kwa kupigwa risasi kichwani na Wilson Masolwa (63) mkazi wa mtaa huo ambaye alijeruhiwa kwa mapanga.
Mtu huyo ameuawa kwa Bunduki aina ya Shortgun ambayo hata hivyo wenzake waliipora baada ya kumkata mapanga Masolwa na kupoteza fahamu.
Akizungumzia tukio hilo mmiliki wa nyumba hiyo Yasinta Patrick (32) amesema mtu huyo na wenzake walivamia katika nyumba yake, ambayo ameipangisha kwa wafanyabiashara wawili wa kutoa na kutuma fedha kwa njia ya mtandao
Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad