.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

GONJWA JIPYA LAIBUKA LAUA MZEE WA MIAKA 80

 
HONG KONG - Babu wa miaka 80  amefariki huko Hong-kong kwa gonjwa jipya linalo enea huko China, linatambulika kama H7N9 linalo enezwa na ndege (mafua ya ndege).. Serikali ya China imetangaza mara tu baada ya gonjwa hili kuua mtu wakwanza tangu lianze kusamba mwanzoni mwa mwezi wa kumi na mbili.

Wana sayansi wamesema kwamba hamna ushahidi wowote uliopatikana kwamba gonjwa hili linaweza kusambazwa kutoka kwa binadamu kwenda kwa binadamu ....Mpaka muda huu watu wote waliokua wanakaa karibu sana na mzee huyo wameenda kupima na wamekutwa hawana ugonjwa huo....

Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad