.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

SALUTI: MOURINHO AIKUBALI ARSENAL...ILA PIA AIONYA



Kocha machachari na mwenye majigambo Mourinho wa Chelsea amejitokeza na kuipongeza team ya Arsenal ambayo inaonekana ni mwiba katika ligi hiyo ya England ..Amesema Arsenal kwa sasa Wamejipanga na wanastahili kushika number moja katika msimamo huo wa ligi ....Ili pia ametoa onyo na kusema Ubingwa wa Ligi huwa ni Mwezi May na sii December so wasijione ndio wameshashinda.
Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad