.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

BAADA YA VIDEO MPYA YA DULLY SYKES KUFUNGIWA..HAYA NDIO ALIOYASEMA ..SOMA HAPA

Baada ya ngoma yake ya Kabinti Spesho ya Staa wa Bongo Fleva,Dully Sykes kufungiwa na serikali kutopingwa kwenye vituo vya televisheni,kutokana na kutokuwa na maadili ya Kitanzania,amesema amekata tamaa ya kuwa msanii wa Kimataifa kutokanana kitendo hicho kumvunja moyo.Kwa mujibu wa msanii huyo amesema hiyo imetokana na serikali kupitia mamlaka ya mawasiliano TCRA kutoa onyo kwa vituo vya televisheni zisiipige video hiyo kutokana na kuvunja maadili hasa maandishi yaliyopo kwenye t-shirt aliyovaa msanii Diamond Platinumz, pili ni ile swimming costume aliyovaa video queen.
Video nyingine zilizopigwa stop ni pamoja na Uzuri Wako ya Jux, na Nimevurugwa ya Snura
Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad