.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

DIAMOND NA AY WASHOOT VIDEO NA MASTAA WENGINE WA AFRICA HUKO SOUTH AFRICA.. BEHIND THE SCENE PICTURES CHEKI HAPA


Diamond akiwa na Victoria Kimani
Video ya wimbo wa pamoja ya wasanii zaidi ya 20 wa Afrika, imefanyika jana jijini Johannesburg, Afrika Kusini, kwenye studio za M1 zinazomilikiwa na shirika la SABC. Katika wimbo huo ambao unasimamiwa na One Campaign kupitia mradi wake mpya wa ‘Go Agric’, Tanzania inawakilishwa na AY na Diamond...
Wasanii hao wakiwa studio kushoot video hiyo
Wasanii wengine kwenye mradi huo ni pamoja na D’Banj na Femi Kuti wa Nigeria, Victoria Kimani wa Kenya na wengine.
Victoria Kimani
Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad