.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

LEWANDOSKI AIBIWA MATAIRI YA MAGARI NA MASHABIKI ... MAJUU KAMA BONGO



lewacar
Usiku wa kuamkia Jumatatu wezi wanaodhaniwa kuwa mashabiki wa klabu ya Borrusia Dortmund wamemfanyia kitu mbaya mshambuliaji klabu hiyo Robert Lewandoski baada ya kuifanya gari la mshambuliaji huyo kuwa ‘screpa’ kwa kuiba matairi yote ya gari hiyo.
1779178_10152012642147946_1881541384_n

Gari hilo aina ya Porsche Cayenne lilikuwa limepaki nje ya nyumba ya mshambuliaji huyo huko Ujerumani, wezi waliiba matairi yote na kuliacha gari hilo juu ya mawe. Kwa mujibu wa gazeti la Bild, sasa itamgharimu Lewandowski kiasi cha €2,500 kuweza kuifanya gari hiyo itembee tena.
CREDIT : MILLARD AYO
Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad