.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

LIVE P.FUNK MAJANI AKIWA KATIKA KABURI LA NGWAIR..


Majani akiwa kwenye kaburi la Ngwair
Producer wa Bongo Records, P-Funk Majani wiki hii amelitembelea kaburi la Ngwair mjini Morogoro.
Mtayarishaji huyo wa muziki alikuwa anatokea bungeni Dodoma ambako alienda pamoja na watu wengine kuhimiza kutambulika rasmi kwa shughuli za sanaa kwenye katiba mpya ya Tanzania.
“Visit Ngwair’s grave on my way back from Dodoma, it was very emotional,” aliandika Majani jana.
Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad