
Mike tee ni moja kati ya wasanii waliochangia kwa kiasi kikubwa muziki
wa bongo fleva kufika hapa ulipofika.Mike aliwahi kutamba na ngoma kama,Ni beep,Sintobadilika,Nakupenda
na nyingine nyingi.Mike tee aliweka wazi hisia zake juu ya Ustadhi Juma
juu ya kitendo alichomfanyia msanii PNC.Mike tee alisema".
Msanii mwenzangu PNC kadhalilishwa sana na OSTADH JUMA kwenye MEDIA
zote, me toka jana natafakari sana kwa mtu mzima kufanya kitendo kama
kile, upande wangu nimeumia na nimeona kama mimi nimefanyiwa kitendo
kile.
Sasa basi wasanii wenzangu, washabiki wetu , viongozi wa ngazi mbalimbali tunajua mambo haya yapo lakini yana kipimo, tukikaa kimya wako watakaotuvua nguo hadharani kisa sisi wasanii ambao tunadharaurika hatuna elimu hatuna kipato ila tunatumika na wachache kupata wanachotaka,
Je tufanye nini me nimeshindwa cha kufanya we need your support wenye uchungu wa muziki wetu na wasanii wa TANZANIA kwa ujumla
Sasa basi wasanii wenzangu, washabiki wetu , viongozi wa ngazi mbalimbali tunajua mambo haya yapo lakini yana kipimo, tukikaa kimya wako watakaotuvua nguo hadharani kisa sisi wasanii ambao tunadharaurika hatuna elimu hatuna kipato ila tunatumika na wachache kupata wanachotaka,
Je tufanye nini me nimeshindwa cha kufanya we need your support wenye uchungu wa muziki wetu na wasanii wa TANZANIA kwa ujumla
0 comments :
Post a Comment