Neymar akishangalia goli lake lakwanza katika dakika ya 41 wakiwa na jezi za kijani |
Hii ilikua ni mechi ya kirafiki ambapo Neymar aliweza kutupia magoli 3 (Hat trick) katika mechi io huku Oscar akishinda goli 1 na pia Fernandinho alishinda goli 1
Kocha wa Brazil Felipe Schorali akitoa maelekezo kwa wachezaji wake waliokua uwanjani |
| |
Oscar akishangilia goli lake lakwanza katika dakika ya 10 |
Mchezaji wa South Africa Thabo Matlaba (katikati) akiwaruka Rafinha (kulia) and Fernandinho |
Paulinho (kushoto)akimiliki mpira huku Dean Furman akiwa anamkaba |
Neymar (Kulia) akiwa anajaribu kumtoka Andile Jali |
Neymar akishangilia goli lake lapili aliloshinda sekunde 21 baada ya kipindi cha pili kuanza |
bEKI wa South Africa Matlaba akipambana kuchukua mpira kutoka kwa Willian wa Brazil |
Wachezaji wa Brazil wakishangilia pamoja na Fernadinho baada ya kufunga goli dadika ya 75 |
kabla ya mpira kuisha Neymar aliweza kuongeza idadi ya magoli kua 5 katika dakika ya 90 na pia kujiandikia magoli 3 katika mechi io iliochezwa katika kiwanja cha soccer city.
ANGALIA MAGOLI HAYO HAPA
0 comments :
Post a Comment