.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

MTANGAZAJI MAARUFU AKAMATWA AKIIBA DUKANI.

Mugshot of Rachel Udoba


Mtangazaji wa Radio One Rachel Udoba amekamatwa huko Atlanta/USA baada ya kukutwa akiiba katika duka ,, mtandao wa georgia-mugshot-search.com umethibitisha taarifa hizo, huku msichana huyo akitambulishwa kuwa ametokea nchi ya Gwinnett, GA, pia kupitia mtandano huo wamethibitisha kuwa mwanadada huyo yupo huru sasa.

Share on Google Plus

About Blog Ya Vijana

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad