Tangaza biashara yako katika blog hii kwa kutuma email blogyavijana@gmail.com ili kuwasiliana na Uongozi wa blog
MSANII MADEE AKIUKA AMRI ZA JESHI, YUPO HATARI KUKAA NYUMA YA NONDO KWA SIKU KADHAA
Ni miezi michache tu tangu msanii Young killer kukamatwa na wanajeshi na kuvuliwa nguo aliokua amevaa yenye mabaka ya wanajeshi, sasa hii itamtokea Msanii wa manzese anaetamba na kibao cha Tema Mate Tuwachape, Madee Ali hii ni baada ya yake aliokua amevaa nguo zenye mabaka ya kijeshi kusambaa mitandaoni, Tujikumbushe ni muda sasa tangu jeshi la Tanzania litangaze kuhusu kuvaa nguo zenye mabaka ya kijeshi ila imekua kama ndivyo sivyo kwa msanii Madee ambae amekiuka amri ya Jeshi na kuendeleza kupiga vazi hilo..

0 comments :
Post a Comment