.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

Taswira mbalimbali za Kili Music Award

Diamond Platnumz akipokea mojawapo ya tuzo zake kutoka kwa baby wake, Wema Sepetu 'Beautiful Onyinye'.
Damond akikumbatiana na mpenzi wake Wema kabla ya kukabidhiwa tuzo.

Diamond akiwa na mojawapo ya tuzo zake.

Mshindi wa tuzo saba (7) za Kilimanjaro Music Awards, Diamond Platnumz akiwa katika pozi na mpenzi wake Wema Sepetu.


STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' amejinyakulia jumla ya tuzo saba katika zoezi la utoaji tuzo za Kili usiku huu ndani ya Mlimani City jijini Dar es Salaam!
Kundi la Weusi likipiga shoo ya nguvu ndani ya usiku wa Kili, Mlimani City.
Msanii Madee na vijana wake wakifanya yao stejini.
Young Killer akipokea tuzo ya Msanii Bora Chipukizi Anayeibuka kutoka kwa msanii JB.
Washereheshaji wa shughuli ya leo Mpoki na Shadee wakiwa kazini.
Wanamuziki Ommy Dimpoz na Vanessa Mdee wakifanya vitu vyao stejini.


Picha na GPL
 
  Asante kwa kutembelea Mwinyi Blog, naomba ubonyeze HAPA ulike page yangu ya facebook ili uendelee kupata matukio mbalimbali ya hapa na pale.
Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad