Star wa filamu na muziki wa Bongoflava
Baby Madaha anadaiwa kuwewesekea
penzi la Diamond Platnumz na kumtaka
Wema Sepetu awaachie na wao Diamond
a.k.a Sukari ya warembo ili wafaidi kama
anavyojiachia.
Chanzo kimoja kilicho karibu na Baby
Madaha ambacho pia kinafanya juu chini
kuwika katika filamu kwa masharti ya
kutotajwa jina lake kikizungumza na
Swahiliworldplanet wiki iliyopita kilisema
kuwa:
"Nawapa habari, Baby Madaha anamtaka
Diamond hata kule kumponda kwenye
media sio kwa dhati ni njia ya kumshawishi
amtongoze.
"Sikia nikwambie, katika Kill
Awards
(mwaka huu) Madaha alikuwa na lengo la
kumbusu Diamond kwa stage lakini
alikuwa anamhofia Wema na Team Wema
wangeweza kuja juu ikawa habari mpya...
"Anamtaka ila anashindwa tu kusema wazi,
unajua Wema anambana sana Diamond,
anataka Wema amwachie" kilisema chanzo
hicho huku kikisisitiza kuwa kisitajwe jina
lake .
Star wa filamu na muziki wa Bongoflava
Baby Madaha anadaiwa kuwewesekea
penzi la Diamond Platnumz na kumtaka
Wema Sepetu awaachie na wao Diamond
a.k.a Sukari ya warembo ili wafaidi kama
anavyojiachia.
Chanzo kimoja kilicho karibu na Baby
Madaha ambacho pia kinafanya juu chini
kuwika katika filamu kwa masharti ya
kutotajwa jina lake kikizungumza na
Swahiliworldplanet wiki iliyopita kilisema
kuwa:
"Nawapa habari, Baby Madaha anamtaka
Diamond hata kule kumponda kwenye
media sio kwa dhati ni njia ya kumshawishi
amtongoze.
"Sikia nikwambie, katika Kill
Awards(mwaka huu) Madaha alikuwa na lengo la
kumbusu Diamond kwa stage lakini
alikuwa anamhofia Wema na Team Wema
wangeweza kuja juu ikawa habari mpya...
"Anamtaka ila anashindwa tu kusema wazi,
unajua Wema anambana sana Diamond,
anataka Wema amwachie" kilisema chanzo
hicho huku kikisisitiza kuwa kisitajwe jina
lake .
0 comments :
Post a Comment